[No title]
18 Novemba 2007Matangazo
RIYADH:
Watu 10 wameuwawa pale moto uliporipuka katika bomba la gesi karibu na kinu cha gesi cha Hawiyah, nchini saudi Arabia jana usiku.
ARAMCO-kiwanda cha serikali cha mafuta na gesi kimesema katika taarifa yake kuwa moto huo ulisababishwa na kuvuja kwa gesi katika bomba liliopo km 30 kutoka kiwanda hicho.Moto huo sasa umedhibitiwa.