Chama cha mapinduzi CCM ambacho ni chama tawala nchini Tanzania kimeendelea kupokea wanachma kutoka upinzani// Korea ya Kaskazini imesema itapeleka ujumbe mzito wa wanariadha na maafisa katika michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi// Jimbo la Uingereza la Ireland ya kaskazini linajikuta tangu mwaka mmoja uliopita bila ya serikali.