Katika ligi ya Ujerumani, Bundesliga, Bayer Leverkusen iliilaza jana Mainz 1-0. Mbarazil Renato Augusto alifunga bao hilo dakika ya 82 ya mchezo
Duru ya nne ya mazungumzo ya mkataba wa Umoja wa Mataifa wa kukabiliana na uchafuzi wa plastiki duniani inaanza leo mjini Ottawa nchini Canada.
Wakati Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukikaribia kutimiza miaka 60, Watanzania wamekuwa na maoni tofauti kuhusiana na muungano huo. Je wanahisi kama bado una umuhimu kwao ama la? Tizama video hii kwa mengi zaidi, kisha utupe maoni yako.
Ghasia zimezuka kati ya waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina na viongozi wa Vyuo Vikuu kadhaa vya Marekani , huku masomo yakisitishwa na waandamanaji kukamatwa.