1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

16.10.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S16 Oktoba 2017

Muungano mkuu wa upinzani nchini Kenya umelaani hatua ya serikali ya kuzima maandamano yaliyokuwa yamepangiwa kufanyika kote nchini// Maelfu ya raia wa Iraq wameshuhudiwa wakiondoka katika mji wa Kirkuk hii leo baada ya vikosi vya serikali kusonga mbele kudhibiti baadhi ya maeneo// Austria inajiandaa kufuata mkondo mpya wa kisiasa kufuatia ushindi wa kijana mdogo wa kihafidhina, Sebastian Kurz.

https://p.dw.com/p/2lvfD