Idadi ya watu waliouawa katika mashambulizi mawili ya mabomu katika mji mkuu wa Somalia mwishoni mwa juma Mogadishu, sasa imepindukia 300// Nchini Kenya hali si shwari katika maeneo mengi ya taifa hilo baada ya kuanza maandanamo ya kila siku ya kupinga tume ya uchaguzi// Upinzani nchini Venezuela umekataa kuyatambua matokeo ya uchaguzi wa serikali za majimbo.