Deutsche Welle: Vikosi vya usalama vimewashambulia wapinzani waliokuwa wanahudhuria maziko mjini Damascus. Mtu mmoja aliuawa na wengine kadhaa walijeruhiwa.
Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak anatazamiwa kukutana leo Jumatano na Kansela Olaf Scholz nchini Ujerumani. Baraza la Seneti la Marekani laidhinisha msaada wa mabilioni ya dola kwa Ukraine, Israel na Taiwan. Ujumbe wa Mawaziri wa Korea Kaskazini wameanza ziara ya nadra nchini Iran.
Mpango wa Uingereza kuwapeleka wahamiaji nchini Rwanda waidhinishwa na Bunge. Rais wa Poland asema nchi yake iko tayari kupokea na kuhifadhi silaha za nyuklia za NATO. Viongozi wa Afrika watoa wito wa ushirikiano ili kupambana na ugaidi barani humo.
Watu 22 wauawa Rafah kufuatia mashambulizi ya Israel. +++ Viongozi wa Umoja wa Ulaya kujadili ulinzi wa anga kwa Ukraine na vikwazo zaidi kwa Iran. +++ Magenge ya wahalifu yaanzisha mashambulizi mapya katika mji mkuu wa Haiti, Port-au-Prince.