Wasiwasi wa kimataifa umeongezeka baada ya Israel kufanya mashambulizi ya droni nchini Iran+++Mawaziri wa mambo ya nje wa mataifa tajiri duniani ya G7 wamezungumzia wasiwasi wao kwa makampuni ya China juu ya kusafirisha vifaa vya kijeshi+++Hali ya kibinadamu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni mbaya zaidi na imepuuzwa zaidi katika historia ya ulimwengu