Marekani yapiga kura ya turufu juu ya taifa la Palestina kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa+++ Scholz asema hakuna sababu kwa nchi wananchama wa NATO kutopeleka mifumo ya ulinzi wa anga Ukraine+++ Bayer Leverkusen wametinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.