Mwenyekiti wa Tume ya Uwiano na Utangamano nchini Kenya Francis Ole Kaparo amelaani wanasiasa ambao amewatuhumu kuchafua mazingira ya siasa nchini humo// Kiongozi wa Catalonia Carles Puigdemont ametishia kutangaza uhuru wa jimbo lake la Catalonia kutoka Uhispania ikiwa hakutokuwepo na mazungumzo baina ya upande wake na ule wa serikali kuu ya Uhispania.