1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.04.2018 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S20 Aprili 2018

Uhusiano kati ya bara la Afrika na Israel umekuwa ukibadilikabadilika katika kipindi cha miongo kadhaa iliyopita// Rais wa Korea Kusini Moon Jae-in amesema mkataba wa amani kumalizika rasmi vita vya Rasi ya Korea unapaswa kusainiwa// Vita dhidi ya ugonjwa wa malaria vimepata msukumo mpya baada ya serikali ya Kenya kuweka bayana wanajiandaa kutoa chanjo kwa watoto ifikapo mwezi wa Oktoba.

https://p.dw.com/p/2wNKq