Bunge la Marekani linatarajiwa kupiga kura leo Juu msaada kwa Ukraine, Israel na katika eneo la kusini mwa Asia la Indo-Pacific+++Umoja wa Ulaya unapoteza ushawishi wake kwa wafanyabiashara na wasomi wa bara la Asia+++Miamba ya soka nchini Tanzania watani wa jadi Simba na Yanga zinakabiliana leo katika mchezo wa ligi kuu.