1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.10.2017 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S20 Oktoba 2017

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamekataa kusaidia kuutatua mgogoro wa jimbo la Catalonia wakisema ni wajibu wa serikali kuu ya mjini Madrid na Barcelona kutafuta suluhu ya mkwamo huo mnamo wakati baraza la mawaziri la uhispania likitarajiwa kukutana ili kuamua hatua zaidi za kuchukua kufuatia mkwamo huo.

https://p.dw.com/p/2mFND