Wizara ya fedha ya Afrika Kusini leo hii inatarajiwa kutangaza hatua zake kali za kuinua mapato na kulidhibiti pengo la bajeti yake ya mwaka 2018 //Licha ya kuachiwa kwa mwenzao aliyekamatwa na kuzuiliwa mahala pasipojulikana kwa muda wa wiki moja bila kufikishwa mahakamani, wandishi habari nchini Uganda wamo katika mashaka makubwa.