Muungano wa asasi za kiraia nchini Tanzania AZAKI, umelitaka taifa hilo kuwa na mfumo au chombo huru cha kuchunguza na kusimamia mashtaka yanayohusu vyombo vya usalama // Mashambulizi ya angani ya Syria na Urusi katika eneo linalodhibitiwa na waasi la Ghouta mashariki yamewaua raia zaidi ya 100