Deutsche Welle: Katika kandanda timu za Bayern Munich na Borussia Dortmund zimefuzu jana kuingia robo fainali ya kombe la shirikisho la Ujerumani.
Kutana na wanawake hawa wenye ulemavu waliamua kujiingiza kwenye mchezo wa mpira wa mikono na namna wanavyosakata mchezo huo.
Watu wasiopungua 7 wamekufa leo na wengine 21 wamejeruhiwa baada ya gari la mashindano kuparamia kundi la watazamaji waliofurika kwenye uwanja wa michezo mjini Colombo nchini Sri Lanka.
Bingwa mara mbili wa Michezo ya Olimpiki, Caster Semenya, ameomba kufadhili mapambano yake ya kisheria dhidi ya sheria zinazowataka wanariadha wa kike wenye viwango vikubwa vya homoni ya testosteroni kumeza dawa.