1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.02.2018 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S22 Februari 2018

Padri aliyeongoza shughuli ya kuuaga mwili wa msichana Akwilina aliepigwa risasi katika maandamano ya viongozi na wafuasi wa chama cha upinzani nchini tanzania, chadema, amemtaka alietekeleza shambulio hilo kutoka hadharani na kuliomba msamaha taifa// Marais wa jumuiya ya Afrika Mashariki wameonya watumishi katika jumuiya hiyo kuondokana tabia za ufisadi, uzembe na utawalamsonge/bureaucracy.

https://p.dw.com/p/2t9ky