1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.04.2024 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S23 Aprili 2024

Jeshi la Israel limekanusha madai ya Palestina kuhusu miili ya Wapalestina kuzikwa kwenye makaburi ya pamoja +++Mkutano wa kimataifa wa Jukwaa la kimkakati (PEN PLUS) wa kupunguza magonjwa yasiyoambukiza umefanyika kwa mara ya kwanza barani Afrika+++Viongozi wa kimataifa wamekusanyika nchini Kanada kwa mazungumzo ya mkataba wa Umoja wa Mataifa wa kukabiliana na uchafuzi wa plastiki

https://p.dw.com/p/4f6aS
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)