Nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo takribani watu 15 wamefariki katika kipindi cha juma moja lililopita kwenye kijiji cha Kanyabayonga kutokana na njaa+++Misri imewatuma hii leo wajumbe wa ngazi ya juu nchini Israel, katika dhamira ya kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano na kundi la Hamas