Deutsche Welle:Mchezaji wa kiungo wa Newcastle, Yohan Cabaye anaandamwa na shirikisho la kabumbu la Uingereza kwa kumpiga teke mmisri Adam El-Abd timu ya Brighton.
Ushiriki wa makundi yote ya kijamii haimaanishi kuwa watoa maamuzi wa awali wananyimwa fursa bali hii ni haki ya kidemokrasia anasema mwandishi wa DW Sheila Mysorekar.
Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa limepiga kura dhidi ya kufanyika kwa mjadala kuhusu madai ya ukiukwaji wa haki katika eneo la Xinjiang, China hatua ambayo ni kikwazo kikubwa kwa mataifa ya Magharibi.