1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

3o wauwawa -mripuko Iraq

30 Desemba 2006
https://p.dw.com/p/CCey

KUFA:IRAQ:

Masaa tu baada ya kunyongwa kwa rais wa zamani wa Iraq Saddam Hussein, bomu kali liliripuka katika soko la samaki la mji wa Kufa unaokaliwa zaidi na washiia na kuua watu 17 na kuwajeruhi wengine 25.Maafisa wa usalama mjini Baghdad wanakisia kuwa idadi ya waliofariki katika mripuko huo yaweza kufikia 30 na wengine 45 wamejeruhiwa.