Rais Adama Barrow anapanga kurejea nchini Gambia leo, Rais Donald Trump ametia saini amri ya utendaji kuiondoa Marekani kutoka katika ushirika wa mataifa ya eneo la bahari ya Pasifiki na Janga la moto linaloendelaa nchini Chile limeteketeza msitu wa zaidi ya hekta laki moja.