1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

ADDIS ABABA: Wanadiplomasia wamekamatwa Ethiopia

20 Oktoba 2006
https://p.dw.com/p/CD19

Nchini Ethiopia wanadiplomasia 2 kutoka Ulaya, wamekamatwa na kutangazwa kuwa ni watu wasiotakiwa nchini humo.Wizara ya mambo ya kigeni ya Ethiopia mjini Addis Ababa imesema wanadiplomasia hao watafukuzwa kutoka nchi hiyo. Inasemekana kuwa wanadiplomasia hao,walijaribu kuwasaidia wahalifu kwenda Kenya.