1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika yapoteza utamaduni wa kufanya mazungumzo?

23 Julai 2012

Utaratibu wa kuyazungumza masuala yake vikaoni ulioanza chini ya miti na ambao ulifanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kusuluhisha migogoro kabla haijageuka mapigano na vita sasa unapotea barani Afrika. Kwa nini?

https://p.dw.com/p/15dJv
Vibanda katika baadhi ya vijiji vya Afrika.
Vibanda katika baadhi ya vijiji vya Afrika.Picha: dapd

Eric Ponda anazungumzia utamaduni unaojuilikana kwa jina la Dhome, katika pwani ya Kenya, ambao huwakutanisha wazee pamoja kwa mijanili ya kutatua migogoro kwenye jamii. Kusikiliza makala hii, tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mtayarishaji: Eric Ponda
Mhariri: Josephat Charo