1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ajali ya Mgodi Afrika Kusini

4 Oktoba 2007

Huko nchini Afrika Kusini kumetokea ajali ya mgodi ambapo wachimba migodi 3,200 walikwama tangu chini ya mgodi wa dhahabu wa Hamony-ellandsrand katika kijiji cha Kaltonville kuanzia jana jioni. Imearifiwa shughuli ya uokoaji inaendelea katika mgodi huo.

https://p.dw.com/p/C7s5
Wachimbaji migodi wa Afrika Kusini.
Wachimbaji migodi wa Afrika Kusini.Picha: AP
Kutaka kujua hali ya mambo kuhusu ajali hiyo, Saumu Mwasimba amezungumza na mwandishi habari aliyeko Afrika Kusini Anderson Kalu.