1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Al Zawahiri ajitokeza tena

20 Desemba 2006
https://p.dw.com/p/CChf

Kiongozi wa pili wa kundi la kigaidi la Al Qaeda, Ayman al-Zawahiri ametoa taarifa kwa njia ya video akipinga uchaguzi wa wapalestina. Al-Zawahiri makamu wa Osama bin Laden, alisema katika kanda hiyo ya vodeo iliotangazwa na televisheni ya Al Jazeera, kwamba njia pekee ya kuikomboa Palestina ni vita vya jihadi.