1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Annan aonya juu ya hatari DRC

Iddi Ssessanga
16 Juni 2017

Viongozi wastaafu Afrika waonya juu ya hatari inayoikabili DRC kutokana na kushindwa kuitishwa uchaguzi. Maafisa nchini Uingereza wasema itachukuwa muda mrefu kuwatambua wahanga wa moto wa London, na polisi mjini Washington yatoa waranti wa kukamatwa kwa walinzi wa rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan.

https://p.dw.com/p/2epg3