1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Annan :mapinduzi ya kilimo

9 Desemba 2007

---

https://p.dw.com/p/CZLn

Katibu mkuu wa zamani wa UM Kofi Annan, ameitisha „mapinduzi ya kilimo“ barani Afrika yakiiingiza ushirika baina ya serikali za Afrika na wakulima ili kuondosha njaa katika bara hili masikini.Annan alisema hayo kandoni mwa mkutano wa kilele wa Afrika na Ulaya mjini Lisbon jana.

Hapo kabla, waziri mkuu wa Spain Jose Luis Zapatero, alipendekeza mkataba kati ya UA na UU kupambana na uhamiaji usio halali.Zapatero alisema mapatano ya aina hiyo yalenge kukuza elimu,nafasi za kazi na kujenga miundo mbinu katika nchi zenyewe za Afrika wanakotoka wahamiaji hao.