Kipindi cha vijana mchaka mchaka kinaangazia suala zima la vijana kuathirika mitandaoni, muda wa vijana mwingi unamalizikia mitandaoni kuangalia masuala mbali mbali. Je ipi atahri ya tabia kama hii? Kwa mengi zaidi sikiliza kipindi hiki kilichotayarishwa na Amina Abubakar