1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Bado watu waokolewa kwenye ghorofa lililobomoka Nairobi

Alfred Kiti6 Mei 2016

Karibu wiki moja baada ya ghorofa moja kuporomoka, watu kadhaa wameweza kutolewa kwenye vifusi vya jengo hilo lililopo kwenye mtaa wa Huruma, Nairobi. Majengo yaliyojengwa kiholela yaanza kubomolewa.

https://p.dw.com/p/1IjJh
Ghorofa lililoporomoka Nairobi
Picha: Reuters/T. Mukoya

[No title]