BAGHDAD:viongozi watafuta uelewano nchini Irak
19 Agosti 2007Matangazo
Viongozi wa jumuiya muhimu nchini Irak wameanza mazungumzo ya kuleta ulewano nchini humo.
Naibu waziri mkuu bwana Barham Saleh amesema kuwa viongozi hao wanakutana tena leo ili kutafuta njia za kuleta maridhiano baina ya wasuni,washia na wakurdi.