1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Baraza la amani na usalama la umoja wa Afrika lakutana mjini Addis Abeba,Ethiopia

24 Agosti 2007

Baraza la amani na usalama la umoja wa Afrika limekutana mjini Addis Abeba, Ethiopia kutathmini hali ya utekelezwaji wa mkataba wa amani ya kusini mwa Sudan.

https://p.dw.com/p/CH98

Kwa taarifa kamili juu ya mkutano huo anaripoti mwandishi wetu Anaclet Rwegayura kutoka Addis Abeba.