1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BERLIN: Mabomu ya kutegwa ardhini yameua zaidi ya 5,750

12 Novemba 2007
https://p.dw.com/p/CBJq

Kote duniani,zaidi ya watu 5,750 ama waliua au walijeruhiwa kwa mabomu yaliyotegwa chini ya ardhi.Hiyo ni kwa mujibu wa ripoti ya mwaka ya ICBL-shirika linalofanya kampeni kupiga marufuku kutumia mabomu ya aina hiyo.

Idadi ya watu walioathirika imeongezeka katika nchi kama Pakistan,Burma, Somalia na Lebanon.Asilimia 34 ya wale waliouawa au kujeruhiwa ni watoto.