1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BERLIN: Msaada zaidi kutoa mafunzo ya kijeshi

7 Julai 2007
https://p.dw.com/p/CBl2

Waziri wa masuala ya nje wa Ujerumani,Frank-Walter Steinmeier anataka kupeleka Afghanistan, maafisa zaidi wanaotoa mafunzo ya kijeshi. Amesema,polisi na majeshi ya Afghanistan yapaswa kusaidiwa mpaka yatakapoweza kusimamia usalama na utaratibu peke yake.