BERLIN.Uchumi wa Ujerumani kustawi22.04.200722 Aprili 2007https://p.dw.com/p/CC8DMatangazoSerikali ya Ujerumani imesema kuwa uchumi wa nchi unatarajiwa kustawi kwa asilimia 2 nukta 4 mwaka huu. Waziri wa uchumi bwana Michael Glos ameeleza hayo. Hapo awali kulikuwa na utabiri wa asilimia 1 nukta saba katika ustawi wa uchumi.