Brown atazamiwa kuongoza tofauti na Blair
28 Juni 2007Matangazo
Baadae Brown akahamia makao rasmi ya waziri mkuu yalio Downing St. Namba 10.Alipowasili katika makao yake mapya,Brown aliwaambia waandishi wa habari kuwa atajitahidi kama awezavyo.Amesema, hiyo ni ahadi yake kwa watu wote wa Uingereza na sasa ndio ianze kazi ya mageuzi.
Waziri mkuu mpya Brown anatazamiwa kulitaja baraza lake la mawaziri baadae hii leo.