1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Burundi: Mwandishi wa Habari ahukumiwa kifungo cha maisha

21 Juni 2012

Nchini Burundi Mwandishi habari Hassan Ruvakuki wa kituo kimoja cha radio binafsi amehukumiwa kifungo cha maisha jela, kwa tuhuma za kushirikiana na makundi ya ugaidi.

https://p.dw.com/p/15Ix9
Kifungo cha maisha chamsubiri Hassan Ruvakukia
Kifungo cha maisha chamsubiri Hassan RuvakukiPicha: Bonnie Allen

Wakili wake amesema atakata rufaa, huku mashirika ya wanahabari yakisema kupokea hukumu hiyo kwa uchungu mkubwa.

Mwandishi wetu Amida Issa kutoka Burundi na ripoti kamili.

(Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: Amida Issa

Mahariri:Mohammed Abdul-rahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi