1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Burundi yajiandaa kwa uchaguzi wa bunge Ijumaa ijayo

Josephat Nyiro Charo19 Julai 2010

Wagombea wa vyama vya upinzani wametishia kuugomea uchaguzi huo

https://p.dw.com/p/OPPt

Mchakato wa matayarisho ya uchaguzi nchini Burundi sasa umeshika kasi na tayari waangalizi wa uchaguzi kutoka Jumuiya ya kiuchumi ya nchi za Kiafrika wako nchini humo kutathmini hali itakavyokuwa katika uchaguzi huo wa bunge utakaofanyika siku ya Ijumaa wiki hii.

Mwandishi, Hamida Issa , Moss

Mhariri, Josephat Charo.