1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

CAIRO: Kivuko kimezama katika mto Nile

18 Agosti 2007
https://p.dw.com/p/CBYG

Kivuko kilichopakia watu mia kadhaa waliokuwa wakisherehekea harusi,kimezama katika Mto Nile nchini Misri.Kwa mujibu wa polisi,watu wapatao darzeni kadhaa hawajulikani walipo.Feri hiyo ilitia nanga nje ya mji wa Beni Suef na iliinamia upande mmoja,wageni walipokuwa wakiimba na kucheza.