1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Chama tawala cha ANC kinaongoza kwa kura

9 Mei 2014

Chama tawala nchini Afrika Kusini African National Congress ANC kimeshinda kwa zaidi ya asilimi sitini katika uchaguzi wa bunge na kuendeleza uongozi wa chama hicho .

https://p.dw.com/p/1Bwr9
Uchaguzi wa Afrika Kusini
Uchaguzi wa Afrika KusiniPicha: Reuters

Chama hicho ambacho kimekuwepo madarakani kwa miaka ishirini sasa tangu kukamilika enzi za ubaguzi wa rangi nchini humo kinamhakikishia Rais Jacob Zuma muhula wa pili madarakani licha ya kuzongwa na kashfa mbali mbali. Caro Robi amezungumza na mwandishi habari Isaac Khomo aliye mjini Johannesburg na kwanza alimuuliza ushindi huu wa ANC una maanisha nini? Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi:Caro Robi

Mhariri: Saumu Yusuf