1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Comey atoa ushahidi mbele ya baraza la Seneti

Lilian Mtono
8 Juni 2017

Aliyekuwa mkurugenzi wa FBI James Comey ametoa ushahidi dhidi ya rais Donald Trump mbele ya baraza la Seneti na kuukosoa utawala wa Trump, Waingereza wapiga kura katika uchaguzi mkuu, na janga la moto Afrika Kusini lasababisha vifo vya watu wanane na wengine 10,000 kuhamishwa makazi. Papo kwa Papo 08.06.2017

https://p.dw.com/p/2eM43