1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

CORD Kenya kufanya maandamano

Saumu Ramadhani Yusuf27 Mei 2014

Muungano wa upinzani nchini Kenya CORD unaoongozwa na Raila Amolo Odinga unapanga kuanzisha harakati kubwa za umma kudai mabadiliko nchini humo.

https://p.dw.com/p/1C7Xi
Kenia Wahlen Raila Odinga
Wafuasi wa muungano wa CORD wakiwa na kiongozi wao Raila OdingaPicha: Will Boase/AFP/Getty Images

Harakati hizo zilizopewa jina Okoa Kenya zinakuja katika wakati ambapo nchi hiyo imezongwa na ukosefu wa Usalama pamoja na kitendawili cha kashfa nzito ya mabilioni ya fedha ya Anglo Leasing. Katika kipindi cha Kinagaubaga Saumu Mwasimba amezungumza na kaimu mwenyekiti wa CORD Prof Anyang Nyon'go. Kusikiliza mahojiano hayo bonyeza alama ya kusikilizia masikioni hapo chini.

Mwandishi: Saumu Mwasimba
Mhariri: Sudi Mnette