1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DRC: Hali ya wasiwasi yazuka katika mji wa Goma

11 Julai 2012

Wakati vijiji na miji kadhaa vya mkoa wa Kivu ya kaskkazini ikikumbwa na mapigano yanayoendelea baina ya jeshi la nchi hiyo na waasi wa M23, hali ya wasiwasi imezuka katika mji wa Goma.

https://p.dw.com/p/15VBu
Wananchi wa Goma wako katika hali ya wasiwasi
Wananchi wa Goma wako katika hali ya wasiwasiPicha: AP

Wakati huo huo, jeshi la kulinda amani la Umoja wa mataifa nchini Kongo, MONUSCO, limeimarisha vikosi vyake mjini Goma ili kukabiliana na uwezekano wa waasi kuingia mjini humo.

Mwandishi wetu John Kanyunyu ametutumia taarifa ifuatayo kuhusu hali ilivyo mashariki mwa Kongo.

(Kusikiliza taarifa hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: John Kanyunyu

Mhariri:Josephat Charo

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi