1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DRC: Juhudi za kurejesha amani mashariki mwa Kongo

12 Juni 2012

Serikali ya Marekani imetangaza kuwa, inaunga mkono serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika vita dhidi ya waasi wa kundi la M23 pamoja na juhudi za kurejesha amani katika eneo la mashariki mwa nchi hiyo.

https://p.dw.com/p/15CXC
Wananchi wa mashariki mwa Kongo wateseka na mapigano
Wananchi wa mashariki mwa Kongo wateseka na mapiganoPicha: AP

Hayo yamesemwa na balozi wa Marekani aliye ziarani mkoani Kivu ya Kaskazini mashariki mwa DRC. Na wakati huo huo, ripoti kutoka Bunagana, mji ulio katika mpaka na Uganda zinadokeza, kuwa waasi wa M23 wamevunja bomba linalosamnbaza maji katika mji huo, ulio na wakimbizi wengi.

Mwandishi wetu John Kanyunyu ametutumia ripoti ifuatayo kutoka Goma

(kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: John Kanyunyu

Mhariri:Othman Miraji

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi