1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DRC: Mapigano yaendelea mashariki mwa Kongo

1 Juni 2012

Wakaazi wa kabila la watutsi wanaoishi katika mji wa Kitsanga wameanza kuyahama makaazi yao.

https://p.dw.com/p/156Gy
Raia wa Kongo wayahama makaazi yao kutokana na mapigano yanayoendelea
Raia wa Kongo wayahama makaazi yao kutokana na mapigano yanayoendeleaPicha: AP

Wakati mapigano yakiendelea baina ya waasi wa M23 na jeshi la serikali katika Jamhuri ya demokrasia ya Congo, wakaazi wa kabila la watutsi wanaoishi katika mji mdogo wa Kitsanga wameanza kuyahama makaazi yao wakihofia hujuma zinazopangwa dhidi yao na waasi wa kihutu wa Rwanda wa FDLR walioko kwenye viunga vya mji huo

Mwandishi wetu mjini Goma John Kanyunyu ametutumia ripoti ifuatayo.

(Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: John Kanyuynu

Mhariri :Mohamed Abdul-Rahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi