1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DRC: Ripoti ya umoja wa mataifa kuhusu Waasi wa M23

14 Januari 2014

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imeelezea wasiwasi wake kufuatia ripoti ya Umoja wa Mataifa ambayo inasema waasi wa M23 wanaendelea kuwasajili wapiganaji katika nchi jirani za Rwanda na Uganda.

https://p.dw.com/p/1AqQl
Waasi wa M23
Waasi wa M23Picha: Isaac KasamaniAFP/Getty Images

Serikali ya Kongo imeomba kuwepo na uchunguzi wa kina na uendeshwe na Jumuiya ya Nchi za Maziwa Makuu, ICGLR, na Umoja wa Mataifa kuhusu madai hayo. Wakati huohuo serikali ya DRC imetoa wito kwa Rwanda na Uganda kutekeleza mkataba wa amani wa Addis-Ababa baina ya nchi za Maziwa Makuu. Taarifa kamili na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo. Kusikiliza taarifa hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: Salehe Mwanamilongo

Mhariri: Mohamed Khelef

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi