1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DUBLIN: Ahern atazamiwa kubakia madarakani Ireland

26 Mei 2007
https://p.dw.com/p/CBy4

Nchini Ireland,yadhihirika kuwa Waziri Mkuu Bertie Ahern atabakia madarakani kwa awamu ya tatu.Baadhi ya kura zilizohesabiwa zaonyesha kuwa chama chake cha Fianna Fail kimeshinda uchaguzi uliofanywa siku ya Alkhamisi.Matokeo ya mwisho yanatazamiwa kutangazwa baada ya saa chache.