1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Fasheni za Kiafrika kwa watoto nchini Nigeria

23 Machi 2017

Nkem Begho wa mjini Lagos nchini Nigeria, hakuweza kufanikiwa kupata nguo zinazofaa kwa ajili ya watoto. Kwa kuwa hakuweza kuridhika na nguo alizoziona, aliamua kubuni chapa ya nguo zake zenye asili ya kiafrika. Lengo ni kuwa na nguo mahsusi ambazo pia zinaweza kutambulisha utamaduni wa Nigeria.

https://p.dw.com/p/2ZpLJ