1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Fatou Bensouda

Fatou Bensouda ni muendesha mashitaka mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC). Bensouda ambaye ni raia wa Gambia alichaguliwa kwa kauli moja katika nafasi hiyo Desemba 12, 2011.