1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

GLASGOW: Sevilla tena yashinda kombe la UEFA

17 Mei 2007
https://p.dw.com/p/CC1O

Barani Ulaya klabu ya Sevilla imeshinda kombe la kandanda la UEFA kwa mara ya pili kwa mfululizo baada ya kuifunga Espanyol katika fainali ya kupiga mabao baada ya mahasimu hao kwenda sare mabao 2-2 mjini Glasgow.Katika penalti kipa wa Sevilla alizuia mikwaju mitatu na amekuwa mbabe wa klabu yake.