1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hali ya uchaguzi nchini Kenya

2 Oktoba 2007

Taasisi tatu tofauti nchini Kenya zimefanya kura ya maoni kuhusu uchaguzi ujao na kubainisha kuwa kiongozi wa ODM Bwana Raila Odinga anaongoza akifuatiwa na rais Mwai Kibaki wa chama cha PNU.

https://p.dw.com/p/CH7L

Chama hicho kilizindua kampeni zake rasmi hapo jana katika uwanja wa michezo ya Nyayo huku chama cha ODM kikinyimwa ruhusa ya kufanya mkutano wa hadhara katika uwanja wa Uhuru. Hata hivyo bunge bado halijavunjwa ila kiongozi wa taifa hilo anatangaza kuwa uchaguzi utafanyika katika kipindi cha miezi miwili ijayo.

Mwandishi wetu Mwai Gikonyo ana taarifa kamili kutoka Nairobi.